Bini akizungumza mjini Eldoret amesema kuwa kama baraza, wamekubaliana kuwa sherehe za Eid ul Adh-ha mwaka huu zitakuwa Alhamisi kwa mujibu ya mwandamo wa mwezi katika eneo la Afrika Mashariki.
MoreAccording to the council’s national Deputy Director Sheikh Abubakar Bini, Muslims in the country have already started marking the 10 days of Dhu al-Hijja, with Wednesday being the second day.
More
